DR Congo: Watu kadhaa waliuawa kanisani kwenye shambulizi la kigaidi

Idadi ya waliofariki kwenye shambulizi la kigaidi kanisani mjini Kasindi,mashariki mwa DRC Jumapili wiki hii imepanda hadi watu kumi na wanne, huku vitengo vya usalama nchini humo vikiripoti kukamatwa kwa raia wa Kenya kama mhusika mkuu wa shambulizi hilo. Rais wa Kenya William Ruto ni miongoni mwa viongozi wakuu kwenye ukanda wa Afrika Mashariki, ambao wametuma risala za rambi rambi huku kundi la kigaidi la ADF likihusishwa na shambulizi hilo.

Abdirizak Muktar Garad, mzaliwa wa kaunti ya Wajir nchini Kenya, mwenye umri wa miaka 29 anazuiliwa nchini DRC kwa tuhuma za kushiriki katika shambulizi la kigaidi ambalo limesababisha vifo vya watu kumi na wanne, huku 39 wakiripotiwa kujeruhiwa vibaya na kulazwa hospitalini.

Kitengo cha DCI cha Kenya, kinachohusika na uchunguzi wa ugaidi ATPU, kinasemekana kushirikiana na maafisa wa usalama nchini DRC kupata taarifa muhimu kumhusu mshukiwa, na historia yake kuhusiana na alipojiunga na makundi ya kigaidi na ikiwa amewahi kusafiri kwenye mataifa ambapo ugaidi umekita mizizi hasa utoaji wa mafunzo ya kivita na mashambulizi.

Nchini DRC kitengo cha kijeshi FARDC kimetangaza kwamba shambulizi hilo lilitekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Allied Democratic Force (ADF), kilicho na chimbuko lake nchini Uganda.

Kundi hilo ambalo limejihusisha na kundi la kigaidi la ISIS  Limehusika katika mashambulizi ya kigaidi jijini Kampala na vile vile Masaka, na eneo ambapo jeshi la Uganda liliingilia DRC katika operesheni SHUJAA ya kupambana na magaidi.

Mapema jumanne, taarifa za shambulizi lingine jijini MAMBASA kwenye eneo la kaskazini mwa KIVU NCHINI DRC pia zimechipuka.

Katika kisa cha jumapili, bomu lililipuliwa kanisani wakati ibada ilikuwa inaendelea huku kundi la ISIS likitaja kwamba lilihusika kupitia kundi la ADF.

Uhazili wa Jamii ya kimataifa umetoa taarifa ya kuomboleza na DRC na jamii ya waliofiwa . Rais wa kenya William Ruto kupitia mtandao wa kijamii wa twitter, amelaani kitendo hicho kwenye kanisa la lubiriha ambapo ubatizo wa waumini ulikuwa unafanyika wakati wa shambulizi, huku akivitaka vitengo vya usalama kuchunguza na kuwakamata waliotekeleza mauaji hayo.

Aidha RAis amesisitiza klwamba hatua hiyo ya kigaidi inazipa nguvu serikali za jumuiya ya EAC kukaza kamba katika juhudi za kupambana na uhalifu huo.

Jumuiya ya AFrika mashariki imetoa taarifa ya kulaani kitendo hicho , huku ikiomboleza na Rais Felix Tsishekedi wa DRC huku katibu wake akitaka marais wa eneo hili kuungana kujadili  suala la usalama wa eneo la EAC na juhudi za kuhakikisha hilo linatekelezwa.

Kulingana na vitengo vya usalama nchini DRC maafisa wao wanafuatilia kwa kina taarifa za kuwepo kwa mabomu mengine yaliyopandwa kwenye mji ulioshambuliwa jumapili na kwamba wanahakikisha kwamba yanadhibitiwa.

AM Live

AM Live is NTV's morning current affairs show that sets the agenda for the day with insightful panels every weekday.

BNX

Business Redefined

Business Redefined is Kenya’s premier thought leadership platform for unpacking matters regarding economic and finance policy as well demystifying complex developments in the region’s capital markets.

Entertainment

A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula

Full Episodes

A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula

Gumzo La Sato

Gumzo La Sato is a live social issues show that aims to create awareness about issues affecting the larger society. The discussions range from Parenting, Marital bliss and struggles, Oppression, violence, and all matters of the Heart.

Health Diary

Health Diary is a weekly show that highlights different types of diseases/conditions and seeks ways to prevent, treat/manage them. The show debunks this through real life stories and also feature specialists in different fields, to offer medical advice on the same.

Letter To My Younger Self

Letter To My Younger Self is a podcast where guests get to write a letter to their younger self, from which Maxine formulates questions to ask them during the hour-long show.

Mazao Talks

Mazao looks at agriculture and agribusiness

Nation Reports

Nation Reports is a weekly podcast offers an opportunity for listeners to interact with various reporters and journey with them as they unravel the biggest most emotive stories.

One Health Lens Podcast

Discussing health matters and human stories from Kenya and across Africa. We talk big picture from people to policy, ecosystems, and everything in between. Follow us on LinkedIn: https://www.linkedin.com/company/onehealthlens

Paradise Lost

Paradise Lost peeks through the story of Louis Otieno, the times, and everything in between.

Podcasts

Podcasts

Speaking of GEN Z

Speaking of Gen Z brings you entertaining but meaningful conversations about a generation that is trying to navigate through adulthood. Join hosts Michelle, Jackie and Esther as they unravel all things Gen Z.

Sport On

Sport-On is a 30-minute sports magazine show on NTV and 3 hours on NATION FM. The show seeks to give the sports “fanatics” and “funatics” comprehensive and in-depth coverage of sports both locally and internationally.

Tech-over

The extent of technological growth is beyond mere acknowledgment; it has seamlessly integrated into our daily existence. A few years ago, the notion of paying electricity bills through mobile money or recharging with 'tokens' in Kenya seemed inconceivable. Online product sales were considered distant, and artificial intelligence is rapidly reshaping various facets of our lives. Amidst these technological leaps, those with a solid understanding of tech can navigate challenges, seize opportunities, and build a sustainable livelihood. Tech over Show aims to be the platform facilitating discussions among thought leaders, innovators, tech companies, and the government, addressing challenges and opportunities in Kenya's thriving tech industry.

Thamani

Thamani is a business show which is dedicated to emerging issues regarding micro, small and medium size businesses.

The Politalk podcast

This is The Politalk podcast. Here we look into the ins and outs of everything Kenyan politics. We pull no punches and have no reason to sugarcoat anything that matters to Kenyans.

The Trend

A two-hour-long live show that airs on Fridays. The show focuses on what is current in the entertainment industry, controversial and popular across all media platforms targeting those aged between 25 and 35 years.

The trend podcast

The trend podcast highlights and captures the best of banter from #TTTT segment that airs every Friday on NTV. It's the TTTT EXTRA

The Wicked Edition

The Wicked Edition with Dr. King’ori seeks to address serious issues through humour and relatable wit. It is a two-part half hour show filmed in front of a live audience

Trending

A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula A collection of our premium content. Diam curabitur vehicula

Twende

Twende is a travel show that highlights beautiful, unique, diverse locations, people, and cultures. The show offers fresh perspectives on familiar locations and memorable experiences in new ones.

Unscripted

This Saturday evening lifestyle show lets viewers share their stories and life experiences as openly & honestly for the purpose of shifting the culture of silence.

VIP Access

VIP ACCESS is Anyiko Owoko’s YouTube and podcast show on Music and Culture dedicated to promoting Africa’s most promising talent and creatives. This podcast grants you VIP access into timeless interviews while providing a platform for rising as well as established artists across the continent. Since launching in 2018, Anyiko has interviewed over 70 African music stars.

WADR

This weekly news show aims to have all sides of debate but not be constrained by it, listen to main voices in the contest but not allow them to hold the viewers hostage, entertain debate but allow push back with all due respect.

When death do us part

In this podcast, three widowers openly speak about the process of grief, how they found themselves exposed to the emotional turmoil of losing their wives, and how society still does not know how to deal with them.

Your World

Your World is a health, wellness and variety show. It provides a platform for audiences and experts to share their experiences on how to improve or manage health issues, across Kenya and the Africa region.