Kisirani Kasipul
Mauaji ya mjumbe wa Kasipul Charles Ong’ondo Were kwenye mzunguko wa makafani ya City hapa jijini Nairobi yalianika bayana kisirani na taharuki ambayo imezidi kutanda kwa muda katika eneo bunge hilo.
Habari zilizochipuka usiku huo na siku chache baadaye baada ya mbunge huyo kuuwawa zilitoa taswira ya eneo bunge lililojaa chuki na kisirani kisiasa.baadhi ya watu wamepoteza maisha, wengine kuumizwa vibaya na wengine wameponea chupu chupu.
NTV imezama Kasipul kujua kiini cha kisirani na utasi huu usiokoma kwenye makala maalum yalyoandaliwa na mwanahabari wetu Duncan Khaemba.
Ila tungependa kuwatahadharisha watazamaji kwamba baadhi ya picha kwenye makala haya huenda zikaogofya.
A shocking revelation that could shake the foundations of Kenya-Sudan relations and jolt the international community from their conform.
In the heart of the brutal conflict engulfing Sudan, evidence has surfaced suggesting the involvement of the Kenyan government.
How did weapons intended for Kenya end up in the hands of fighters in Sudan's deadly conflict?
We dig deeper into a story that raises questions not only about international law, but also about the shadowy world of arms deals and high-profile political visits to by RSF leaders to Nairobi.
June 15, 2025The assassination of Kasipul member of parliament Charles Ong’ondo Were at Nairobi’s City Mortuary roundabout exposed the political under currents that for a long time have been prevailing in the constituency.
Details that emerged on the night the second term legislator was gunned down and followed in subsequent days until his burial ten days later painted a picture of a constituency that is on political tenterhooks and now stares at a by-election. Some people have lost their lives through political hooliganism, some have been maimed and some have narrowly dodged harm. NTV’s Duncan Khaemba has held a face-to-face conversation with key persons of interest a few days after the murder of the mp and gives us that special report; Volatile Kasipul. Viewer Discretion Warning: Some of the images in the report could be disturbing. June 1, 2025