Jela Ya Tiba
Kulazwa hospitalini kwa minajili ya matibabu ni tukio ambalo huwatoa wengi kijasho chembamba kutokana hali kwamba hospitali kwa kawaida ni vituo vya kuangazia dharura za kiafya ziwe ni zile hali mahututi au hata matibabu ya maumivu madogo.
Hii yamaanisha kwamba yeyote anafika hospitalini bila shaka huwa ni azma yake kwamba achukue muda mfupi iwezekanvyo.
Je, hali ni ipi kwa wale wanaosalia hospitalini sio kwa siku, wiki kadhaa au miezi bali miaka na mikaka baada ya kuachwa kipweke hospitalini au kutelekezwa na jamaa zao?
Na hatimaye, baada ya kusalia kwenye wodi kwa miaka wao huishia wapi baada ya hospitali kufikia mwisho na kuwaondoa vitandani?
Duncan Khaemba amefanya pita pita zake katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Kenyatta na kuandaa makala ya #JelaYaTiba.
When he is not litigating in courts, then he is probably giving a public lecture or seated on a panel somewhere across the continent of Africa preaching about the elusive dream of a united Africa. Kenya’s high court advocate professor PLO Lumumba is increasingly gaining traction in the continent for his passion on pan-africanism that has seen him stand out as the latter-day Kwame Nkrumah who was the champion for pan-africanism. So what drives him to be this passionate about mama Africa? What kind of Africa is his dream about and who inspires him the most?
April 21, 2024