Jela Ya Tiba
Kulazwa hospitalini kwa minajili ya matibabu ni tukio ambalo huwatoa wengi kijasho chembamba kutokana hali kwamba hospitali kwa kawaida ni vituo vya kuangazia dharura za kiafya ziwe ni zile hali mahututi au hata matibabu ya maumivu madogo.
Hii yamaanisha kwamba yeyote anafika hospitalini bila shaka huwa ni azma yake kwamba achukue muda mfupi iwezekanvyo.
Je, hali ni ipi kwa wale wanaosalia hospitalini sio kwa siku, wiki kadhaa au miezi bali miaka na mikaka baada ya kuachwa kipweke hospitalini au kutelekezwa na jamaa zao?
Na hatimaye, baada ya kusalia kwenye wodi kwa miaka wao huishia wapi baada ya hospitali kufikia mwisho na kuwaondoa vitandani?
Duncan Khaemba amefanya pita pita zake katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Kenyatta na kuandaa makala ya #JelaYaTiba.
The assassination of Kasipul member of parliament Charles Ong’ondo Were at Nairobi’s City Mortuary roundabout exposed the political under currents that for a long time have been prevailing in the constituency.
Details that emerged on the night the second term legislator was gunned down and followed in subsequent days until his burial ten days later painted a picture of a constituency that is on political tenterhooks and now stares at a by-election. Some people have lost their lives through political hooliganism, some have been maimed and some have narrowly dodged harm. NTV’s Duncan Khaemba has held a face-to-face conversation with key persons of interest a few days after the murder of the mp and gives us that special report; Volatile Kasipul. Viewer Discretion Warning: Some of the images in the report could be disturbing. June 1, 2025