Simulizi Ya Joshua Okaya
Rais wa baraza la wanafunzi chuo cha uwakili cha KSL Joshua Okayo alitekwa nyara tarehe ishirini na sita mwezi jana punde tu baada ya kushiriki maandamano yaliyofikishwa hadi kwenye bunge la kitaifa na la seneti. Akiwa mateka wa maafisa wa usalama, kwa zaidi ya saa 48, Okayo aliteswa kwa kupigwa na vifaa butu, akanyimwa chakula na hatimaye akatupwa kando ya mto Maragua. Katika mahojiano ya kipekee na mhariri wetu Frederick Muitiriri, Okayo ameiambia NTV kwamba maafisa hao walikuwa na nia ya kumuua.
Early childhood development centres, ECDE, fall under the jurisdiction of devolved units. Although there has been a tremendous improvement in access to basic education since devolution started, a Senate Committee of Education revealed a complete neglect in many counties. The audit found that in many counties, ECDE learners are housed in dilapidated and pathetic classes.
February 23, 2025