Tanzia ya Ouko
Ni maika 33 sasa tangu mauaji ya kikatili ya aliyekuwa waziri wa mambo ya kigeni Robert Ouko ambaye maiti yake ilipatikana katika safu ya kilima Got Alila, kilomita tatu kutoka nyumbani kwake Koru, huko Kisumu. hata hivyo hadi hii leo fuvu la kichwa chake bado liko jijini London katika hospitali ya Guys.
Bastola iliyopatikana kando yake ilirejeshwa humu nchini. Je, mbona serikali hadi wa leo haijarejesha au kuzika fuvu la Ouko?
Along the picturesque shores of the Kenya's coastline, a new ecological menace has emerged, casting a shadow over the region's diverse wildlife and delicate ecosystems. The invasion of Indian house crows, known for their aggressive behavior and voracious appetite, is posing a significant threat to native species and habitat stability, prompting urgent action from environmental authorities.
5 hours agoMeru county governor Kawira Mwangaza has survived two impeachment attempts barely a year in office. The political heavy weight she defeated in the 2022 election have been blamed for engineering her political woes, or are they?
March 21, 2024