A look inside Uhuru Kenyatta's grand projects, grand budgets
Rais wa baraza la wanafunzi chuo cha uwakili cha KSL Joshua Okayo alitekwa nyara tarehe ishirini na sita mwezi jana punde tu baada ya kushiriki maandamano yaliyofikishwa hadi kwenye bunge la kitaifa na la seneti. Akiwa mateka wa maafisa wa usalama, kwa zaidi ya saa 48, Okayo aliteswa kwa kupigwa na vifaa butu, akanyimwa chakula na hatimaye akatupwa kando ya mto Maragua. Katika mahojiano ya kipekee na mhariri wetu Frederick Muitiriri, Okayo ameiambia NTV kwamba maafisa hao walikuwa na nia ya kumuua.
July 9, 202455 years since his assassination in Nairobi central business district, no one theory has ever fully explained the motive and the individuals behind the cold-blooded murder of Cabinet Minister Thomas Joseph Mboya on Saturday, July 5, 1969. During the entire period, the name of one Isaac Nahashon Njenga Njoroge remains as the only direct link to the dastardly murder that many believe altered the course of Kenya’s history forever. But even with the passing of time, new revelations continue to emerge about the well-laid plot that had many twists and turns from the word go. NTV’s investigations reporter Duncan Khaemba has for the last eight months walked down memory lane to piece together the puzzle about the death of a man who has simply refused to be forgotten, more than half a century later. And for the first time, one man who claims to have been one of the hitmen, finally speaks out at the age of 92.
July 8, 2024