Fumbo La Gakuru
Marehemu gavana Patrick Wahome Gakuru alikuwa amehudumu kama gavana wa awamu ya tatu ya Nyeri kwa siku sabini na tisa pekee, kabla ya kukumbana na mauti kupitia ajali ya barabarani.
Wakati wa vikao vya mahakamani kutafuta ukweli kuhusiana na kifo chake cha kuogofya, mashahidi kadhaa walisimulia jinsi gavana alishuhudia akiaga dunia baada ya kusalia amekwama ndani ya gari lake akiendelea kuvuja damu kwa wingi kwa zaidi ya dakika thelathini baadaye.
Familia yake ilijiondoa kwenye vikao hivyo baada ya kutofautiana vikali na mkurugenzi wa mashtaka ya umma alipopinga shinikizo lao la kuwataka watu fulani watano waitwe mahakamani ili wahojiwe. Je, hawa watano walikuwa ni akina nani? Mbona walikuwa na umuhimu sana katika vikao hivyo na kwa nini walikataa kufika kortini ili kujieleza na kumaliza shuku dhidi yao? Na pia je, ilikuwaje marehemu gavana akawa na polisi bandia kama mkuu wa ulinzi wake? Na kwa nini hadi wa leo kampuni ya bima kupitia kaunti ya Nyeri haijamlipa fidia aliyekuwa mlinzi wa Gakuru, Ahmed Kaib, manusura wa ajali hiyo ambaye alikatwa mguu wake mmoja? NTV inachunguza na kukuletea; Fumbo la Gakuru na Duncan Khaemba.Controversial businessman Kamlesh Pattni says he has no regrets whatsoever with regard to the infamous 5.8B Goldenberg scandal that sunk Kenya’s economy in the 90s. He maintains that the saga was above board, but accuses the Central Bank at the time of using the alleged scandal to cover up for huge loans they had given to powerful politicians.
Kamlesh Pattni, who spoke exclusively to NTV at his operation base in Dubai, states that he has done good for Kenya and has forgiven all who ‘persecuted’ him.
June 23, 2025A shocking revelation that could shake the foundations of Kenya-Sudan relations and jolt the international community from their conform.
In the heart of the brutal conflict engulfing Sudan, evidence has surfaced suggesting the involvement of the Kenyan government.
How did weapons intended for Kenya end up in the hands of fighters in Sudan's deadly conflict?
We dig deeper into a story that raises questions not only about international law, but also about the shadowy world of arms deals and high-profile political visits to by RSF leaders to Nairobi.
June 15, 2025The assassination of Kasipul member of parliament Charles Ong’ondo Were at Nairobi’s City Mortuary roundabout exposed the political under currents that for a long time have been prevailing in the constituency.
Details that emerged on the night the second term legislator was gunned down and followed in subsequent days until his burial ten days later painted a picture of a constituency that is on political tenterhooks and now stares at a by-election. Some people have lost their lives through political hooliganism, some have been maimed and some have narrowly dodged harm. NTV’s Duncan Khaemba has held a face-to-face conversation with key persons of interest a few days after the murder of the mp and gives us that special report; Volatile Kasipul. Viewer Discretion Warning: Some of the images in the report could be disturbing. June 1, 2025