Bugudhi Ya Hedhi
Katika ustaarabu wa kale ulimwengu wa magharibi, maneno kama vile "laana," na "uchafu" yalikuwa maneno yaliyotumiwa kuelezea mzunguko wa hedhi. Haishangazi kwamba kwa miongo kadhaa, mchakato wa kawaida wa kibaolojia ambao wanawake wengi hupitia kila mwezi ulikabiliwa na ukandamizaji wa kijamii na kudhalilishwa kwa wasichana wadogo na wanawake . Athari za unyanyapaa huu pia zimeshuhudiwa nchini kenya, huku baadhi ya wasichana wakifikia hatua ya kujiua ili kuiepuka aibu ya hedhi. Ingawa hatua zimepigwa ili kukabiliana na aibu ya hedhi, jamii tulivu ya dasanach kaskazini mwa kenya bado imegubikwa kiza kiasi kwamba wasichana wengi wachanga wanahiari kupata ujauzito kama njia ya kuzuia hedhi. Ilichukua safari ya siku mbili kwa mwanahabari wetu mpekuzi ngina kirori na kikosi cha NMG kuifikia jamii ya dasanach kaunti ya marsabit ili kupata simulizi hizi za kuvunja moyo.
Controversial businessman Kamlesh Pattni says he has no regrets whatsoever with regard to the infamous 5.8B Goldenberg scandal that sunk Kenya’s economy in the 90s. He maintains that the saga was above board, but accuses the Central Bank at the time of using the alleged scandal to cover up for huge loans they had given to powerful politicians.
Kamlesh Pattni, who spoke exclusively to NTV at his operation base in Dubai, states that he has done good for Kenya and has forgiven all who ‘persecuted’ him.
June 23, 2025A shocking revelation that could shake the foundations of Kenya-Sudan relations and jolt the international community from their conform.
In the heart of the brutal conflict engulfing Sudan, evidence has surfaced suggesting the involvement of the Kenyan government.
How did weapons intended for Kenya end up in the hands of fighters in Sudan's deadly conflict?
We dig deeper into a story that raises questions not only about international law, but also about the shadowy world of arms deals and high-profile political visits to by RSF leaders to Nairobi.
June 15, 2025The assassination of Kasipul member of parliament Charles Ong’ondo Were at Nairobi’s City Mortuary roundabout exposed the political under currents that for a long time have been prevailing in the constituency.
Details that emerged on the night the second term legislator was gunned down and followed in subsequent days until his burial ten days later painted a picture of a constituency that is on political tenterhooks and now stares at a by-election. Some people have lost their lives through political hooliganism, some have been maimed and some have narrowly dodged harm. NTV’s Duncan Khaemba has held a face-to-face conversation with key persons of interest a few days after the murder of the mp and gives us that special report; Volatile Kasipul. Viewer Discretion Warning: Some of the images in the report could be disturbing. June 1, 2025