Bugudhi Ya Hedhi
Katika ustaarabu wa kale ulimwengu wa magharibi, maneno kama vile "laana," na "uchafu" yalikuwa maneno yaliyotumiwa kuelezea mzunguko wa hedhi. Haishangazi kwamba kwa miongo kadhaa, mchakato wa kawaida wa kibaolojia ambao wanawake wengi hupitia kila mwezi ulikabiliwa na ukandamizaji wa kijamii na kudhalilishwa kwa wasichana wadogo na wanawake . Athari za unyanyapaa huu pia zimeshuhudiwa nchini kenya, huku baadhi ya wasichana wakifikia hatua ya kujiua ili kuiepuka aibu ya hedhi. Ingawa hatua zimepigwa ili kukabiliana na aibu ya hedhi, jamii tulivu ya dasanach kaskazini mwa kenya bado imegubikwa kiza kiasi kwamba wasichana wengi wachanga wanahiari kupata ujauzito kama njia ya kuzuia hedhi. Ilichukua safari ya siku mbili kwa mwanahabari wetu mpekuzi ngina kirori na kikosi cha NMG kuifikia jamii ya dasanach kaunti ya marsabit ili kupata simulizi hizi za kuvunja moyo.
Early childhood development centres, ECDE, fall under the jurisdiction of devolved units. Although there has been a tremendous improvement in access to basic education since devolution started, a Senate Committee of Education revealed a complete neglect in many counties. The audit found that in many counties, ECDE learners are housed in dilapidated and pathetic classes.
February 23, 2025Dr Patrick Wahome Gakuru had only served as Nyeri’s third governor for 79 days before meeting his horrendous death in a tragic road crash, along the Nyeri-Nairobi highway.
During a public inquest of his shocking death, statements presented by various witnesses painted a picture of how the governor slowly, painfully died, as he remained trapped in his official vehicle with a guard rail piercing through him. He bled profusely, before he was removed from the wreckage, more than thirty minutes later.
His family abandoned the inquest after a conflict arose between them and the director of public prosecutions, over failure to summon five persons of interest who they wanted interrogated. Who were these big five? Why were they crucial witnesses in the inquest, and, why did they object appearing in order to clear the air and state their innocence?Also, how did the late governor have a police impostor as head of security? Why is it that until now, the insurance company, through the Nyeri county government, has not compensated Gakuru’s bodyguard Ahmed Kaib, who survived the crash, but lost his leg through amputation? Here is NTV investigates: Gakuru’s horrific demise - by NTV’s Senior Reporter Duncan Khaemba.
December 29, 2024