Jela Ya Tiba
Kulazwa hospitalini kwa minajili ya matibabu ni tukio ambalo huwatoa wengi kijasho chembamba kutokana hali kwamba hospitali kwa kawaida ni vituo vya kuangazia dharura za kiafya ziwe ni zile hali mahututi au hata matibabu ya maumivu madogo.
Hii yamaanisha kwamba yeyote anafika hospitalini bila shaka huwa ni azma yake kwamba achukue muda mfupi iwezekanvyo.
Je, hali ni ipi kwa wale wanaosalia hospitalini sio kwa siku, wiki kadhaa au miezi bali miaka na mikaka baada ya kuachwa kipweke hospitalini au kutelekezwa na jamaa zao?
Na hatimaye, baada ya kusalia kwenye wodi kwa miaka wao huishia wapi baada ya hospitali kufikia mwisho na kuwaondoa vitandani?
Duncan Khaemba amefanya pita pita zake katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Kenyatta na kuandaa makala ya #JelaYaTiba.
Controversial businessman Kamlesh Pattni says he has no regrets whatsoever with regard to the infamous 5.8B Goldenberg scandal that sunk Kenya’s economy in the 90s. He maintains that the saga was above board, but accuses the Central Bank at the time of using the alleged scandal to cover up for huge loans they had given to powerful politicians.
Kamlesh Pattni, who spoke exclusively to NTV at his operation base in Dubai, states that he has done good for Kenya and has forgiven all who ‘persecuted’ him.
June 23, 2025A shocking revelation that could shake the foundations of Kenya-Sudan relations and jolt the international community from their conform.
In the heart of the brutal conflict engulfing Sudan, evidence has surfaced suggesting the involvement of the Kenyan government.
How did weapons intended for Kenya end up in the hands of fighters in Sudan's deadly conflict?
We dig deeper into a story that raises questions not only about international law, but also about the shadowy world of arms deals and high-profile political visits to by RSF leaders to Nairobi.
June 15, 2025