Saliti ya Dini, sehemu ya 4: Kwaheri Mpenzi
Mhudumu wa shirika la ndege la Qatar Airways Beatrice Ajenta Charles maarufu Betty ni mmoja wa watu waliodaiwa kupotelea msituni Shakahola.
Betty, dadake Constance na wanao wanadaiwa kuelekezwa kwenye mfungo wa kufa na wazazi wao ambao ni wafuasi sugu wa Mackenzie.
Katika sehemu ya nne na ya mwisho ya Saliti ya Dini - kwaheri mpenzi, mhariri wa Kiswahili Ncholas Wambua anaangazia safari ya dada hawa wawili ya Shakahola na kwa nini wazazi wao ni wahusika kwa kupotea kwao.
When he is not litigating in courts, then he is probably giving a public lecture or seated on a panel somewhere across the continent of Africa preaching about the elusive dream of a united Africa. Kenya’s high court advocate professor PLO Lumumba is increasingly gaining traction in the continent for his passion on pan-africanism that has seen him stand out as the latter-day Kwame Nkrumah who was the champion for pan-africanism. So what drives him to be this passionate about mama Africa? What kind of Africa is his dream about and who inspires him the most?
April 21, 2024